Jumatano, 22 Oktoba 2014

lifestyle

fasion inahusu mpangilio mzima wa maisha ya mtu.kuanzia mavazi,vyakula,malazi n.k
Hyo ndo inatafsirika km lifestyle ya mtu.
hasa inavotaki ni mtu kuwa nayo hayo yote katika usahihi.kuvaa vzuri haijalishi mpaka uvae uchi.vyovyote ujipangiliavyo mtu unaweza kupendeza.

Pia katika vyakula co kula vyakula vingi ndo kuwa na afya bali unatakiwa kula vyakula vyenye balanced diet.protein kidogo,vitamin kdogo,cabohydrates kidogo,na maji mengi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni