Alhamisi, 23 Oktoba 2014

CHANJO KWA WATOTO NA WAKUBWA

Wazazi wanashauriwa kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya afya kupata chanjo kwaajili ya kinga.Tembelea kituo cha afya kiliko karbu yako.

Kwa wazazi nao kuna chanjo za matende,mabusha,na minyoo.inashauriwa ni muhim kwa afya yko.

hyo ni katika hospitali ya oysterbay nilipoitembelea mida ya saa tano asubuh.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni