Wazazi wanashauriwa kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya afya kupata chanjo kwaajili ya kinga.Tembelea kituo cha afya kiliko karbu yako.
Kwa wazazi nao kuna chanjo za matende,mabusha,na minyoo.inashauriwa ni muhim kwa afya yko.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni