Ijumaa, 31 Oktoba 2014

MISS UNIVERSE CAROLYNE BENARD.

Mshindi wa shindano la miss universe ni carolyne Benard kutoka Dar es salaam.
Mrembo huyu ameopoa taji hilo jana Tanzania.

Alhamisi, 23 Oktoba 2014

Diamond na Yamo....

Wasanii wa muziki Diamond platnumz na yamoto band wanatarajiwakutumbuiza katika aiku ya msanii tz itakayofanyika sku ya tarehe 25 october mwaka huu pale mlimani city mall.Wasanii hao watasindikizwa na wasanii kutoka Kenya ,Miss Tanzania 2014,Miss universe na wengineo.

Mgeni rasmi ni mheshimiwa Makamo wa rais Dr Ghalib Bilal.

ABAYA TREND.(MADISHDASH)

Hizi ni aina ya nguo au magauni ambayo yanatengenezwa kwa vitambaa vyepesi vyenye urembo mwingi.
Nguo hizi huvaliwa sehem tofauti ila mara nyingi kwenye harusi au sherehe za kidini (kiislam)pia zinaweza kuvaliwa kwenye mitoko ya ucku (dinner).

VITENGE(LONG DRESSES AND COATS)

Mavazi haya ya vitenge ni yenye ubunifu wa aina yake na hupendeza katika macho ya yule anaekutazama wakati umevaa mavazi hayo.Unaweza kushona nguo za aina mbalimbali mfano suruali.gauni.koto.shati.pensi n.k

makoti m.f
magauni marefu
pensi au suruali
magauni

OFFICIAL LOOK.

Mavazi ya suit au nguo nyingine mfano wa hizi kwa kina mama yameonekana yakikubalika sana katika sehem zenye heshma .mfano.maofsini,kwenye mikutano mbalimbali inayohusu siasa au nchi,pia kwa mitoko ya kawaida ya binafsi unaweza pia kuvaa kama hvyo.Mavazi haya ni katika mavazi ambayo yanafaa kwenda nayo kokote kwenye heshma.
colour blocking imevutia sana kwa dada Wolpergambe.

SHORT DRESSES AFRICAN PRINTS(VITENGE)

Mavazi haya yameonekana yakirudi kwa kasi kubwa sana nchi Tanzania.Kitenge ni vazi ambalo unaweza kwenda nalo sehem yoyote iwe kazin au kwenye shughuli mbalimbali.makenzi au madashiki
Mwanadada huyu ajulikanae kama Jaquline Wolper ameonekana akiyatendea haki mavazi haya.
Pongezi sana kwa mwanamitindo wake.

CHANJO KWA WATOTO NA WAKUBWA

Wazazi wanashauriwa kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya afya kupata chanjo kwaajili ya kinga.Tembelea kituo cha afya kiliko karbu yako.

Kwa wazazi nao kuna chanjo za matende,mabusha,na minyoo.inashauriwa ni muhim kwa afya yko.

hyo ni katika hospitali ya oysterbay nilipoitembelea mida ya saa tano asubuh.

Jumatano, 22 Oktoba 2014

BIRTHDAY PARTY YA WEMA SEPETU

Katika birthday zlizokuwa funga mwaka ni ya madame.naomba ujionee mwenyewe ilkua shidda....

zawadi kutoka kwa diamond nazo zlkua shidda.
team wema nao hawakua nyuma kwenye party ya dada yao.